Hahaha asanteMmmmmmmh huyu Mgeni Leo naona amekaribishwa sana kwakweli ngoja na Mimi niseme
Karibu mgeni
Mimi ndiye mpakwa mafuta
Wa Bwana Kwa issue ya kimaombezi fika hapa pls
Karibu sana Queen B aka Lil Kim
Poa poa lakini usivue viatu ingia navyo tuu mgeni wetu.....Asante
Kha nawashukuru kwakwelDuh mgeni umetisha, umepata 'karibu' za kutosha
Kwa nini umejiunga September eleven?una uhusiano gani na tarehe hyo?tusikribishe watu bila kuwachunguza wengine sio wema kabis!karibu Queen BHabari wakuu.... Mim nguduyenu mgeni huku.
Haha mkwaraaaKwa nini umejiunga September eleven?una uhusiano gani na tarehe hyo?tusikribishe watu bila kuwachunguza wengine sio wema kabis!karibu Queen B
Thanks openKaribu malkia Bi.
Umechukia mim kupokelewa na wengiKwa nn wageni wa kike wanapokelewa kwa shangwe sana na wanapata likes nyingi kuliko wakiume ?
Baba parokoUkiwa na shida yoyote ya kiimani au kiroho paroko niko hapa
Umri wako tafadhariHabari wakuu.... Mim nguduyenu mgeni huku.