bhageshi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 264
- 101
Wana JF mie nipo mbari saaaaaaaaaana na vituo vya burudani sehemu nilipo labda mzizimkavu ndio anaweza fika maana yeye hutafuta mizizi ya tiba mbadala. Naomba mwenye link iwe youtube, daliymotion au yeyote ile ya huu wimbo wa Mgeni ulioimbwa na John Komba na kundi zima TOT. wimbo huu hunikuna sana hasa shooting yake we acha kabisa lile toto lenye nguo nyekundu likitikisa tikisa ule u---ja. Nisaidieni niweze download huku nilipo niburudike mwenzenu...Mgeni amekwenda kukaaa chumbani, chumba cha baba na mama, mgeni ameumwaga upupu baba na mama wanajikuna------