Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Kitendo cha Katibu Mkuu wa wa TUCTA Nicolaus Mgaya kutambulisha wageni bila kumtambua Mbunge wa Mbeya mjini Mheshimiwa Sugu inaleta sura mbaya. Hata mkuu wa mkoa naye kashindwa kutambua uwepo wake sijaelewa ni kupitiwa au wamefanya makusudi.