Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Bora Tanesco wangesema mgao utaanza kila kitongoji kitapata umeme kwa wiki mara mbili kuliko kuleta usanii wa masaa
Hao CCM wakimaliza kuondoa umeme nchini waje watuingize vidole machoni tusione kabsaa!!
Duh!Hii nayo kali!Vidole wapi tena mkuu?