Kutokana na taarifa aliyoitoa katika vyombo vya habari mukulungenzi wa Tenesco kwamba Tenesco inajitoa katika ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme ya Downs lakini kwa maelezo kuwa kutakuwa na matatizo ya umeme naomba niwaulize wana JF Je tatizo hilo lipo kweli ? au hao Tenesco wanataka kuhalalisha ununuzi wa mitambo hiyo?