Mgao wa umeme wa kufa mtu watangazwa, Juni 2011 na kuendelea

halafu JK anapanga kesho kwenda msibani wa mama yake spika anna makinda-njombe!tatizo la umeme kwake halina priority kama mazishi!!!
 
Dah, kwangu sina umeme tangu saa mbili asubuhi na sasa ni saa tatu usiku! sina hata taarifa na mgao wenyewe! Pambaf! ngoja nisimalize chaji ya simu yangu sasa!
 
Ahaaa, Chadema ndo wameleta haya yote wanafanya nchi isitawalike! lol!
 
Mliambiwa ccm ni disaster hamkuelewa sasa ndo mambo haayoooooooooo na bado ila natabiri kuna mambo yatatokea
 
Kwa wale wanaojua how the freemasons operate, hakuna jipya hapa.This is a deliberately created crisis.And mind you this will not be the last. They create one crisis after another ili tushindwe kupanga mambo yetu,tukose matumaini na to loose confidence in ourselves and evenly tuwe easy to manipulate and rule.
Mgao umeanza upya, gesi imeadimika kutoka Songosongo
 
Hivi ina maana serikali haina pesa za kununua mitambo mipya ili kukomesha tatizo hili? Mbona kila mara matatizo yanajirudia yale yale?
Mi nadhani kuna mchezo mchafu unaendelea ambao unasababisha serikali isiwe na nia ya dhati kukomesha tatizo hili.Anyway kila lenye mwanzo halikosi mwisho!

Kama mlimsulubu EL mnategemea mambo yataenda sawa yeye anajua michozo zote ya nishati ya umeme hapa bogo
 
Hii nchi hiii.....arggggg....kila kitu deal! Deal! Tu. Sina uhakika kama hawa viongozi wako "Straight" ......mae
 
:A S-baby:
Mgao tena!!!! Tumeishazoea
shida wacha tu watukomoe.
No.Enough is Enough tumechoka na mgao. Suala hili lazima litatuliwe sasa. Nchi imezungukwa maji kila sehemu, tuna maziwa, mito na maji.Tuna madini kibao halafu tukose umeme!Something should be done . Haya ni matunda ya ufisadi ambao tunaukumbatia.
 
Nikisoma,nikiangalia au nikisikia habari za TANESCO,ATCL,TTCL,DAWASCO siku zote huwa naanza kuona kizunguzungu hata kabla habari hiyo haijaisha.

Tuseme TRC (oh TRL siku hizi vile) umekwisahauuuu kama inastahili kuwepo apo kwenye red au...?
 
mambo ya shamba la bibi hayo, kwani huko songosongo kuna mtanzania aneona kinachoendelea? au wao wako baa kusifiana, kujisifu, kusungumzia wizi wao? sisi tunaumia wao wanavimbiwa
 
ccm umeleta umaskini mkubwa nchi hii, hakuna jipya wala la kupendeza under ccm. tuitoe ccm isipotoka madarakani tumekwisha no hope
 
Ethiopia launches construction of massive power plant


February 15, 2011 (ADDIS ABABA) - The Ethiopian Electric Power Corporation (EEPCo) has launched the construction of a massive hydroelectric generation plant in Benishangul state, very close to the Sudanese border, according to an Ethiopian newspaper.
The construction of the dam on the Blue Nile River has been awarded to Italian multinational Salini Costruttori SPA, anonymous sources told the Fortune newspaper.
Salini Costruttori SPA is the same Italian construction company that built the Gilgel Gibe II and Tana Beles dams. The Ethiopian government has been accused of awarding the projects to the same company without a competitive international tender. Opponents say it was negotiated directly with Salini, in violation to government's own procurement guidelines.
The company has already begun deploying heavy construction machinery to the site, located 40 kilometers away from the Sudanese border. The project has not been made official so far and EEPCo officials have declined to comment on the project.
Secretly known as "project x" by Ethiopian authorities, upon completion, the power plant will have an electric generation capacity of 6,000MW, three times more than what all its dams currently operation could generate.
This generating capacity will be a significant boost for the Ethiopian Electric Power Company (EEPCO), which intendeds to end the country's electricity shortage and plans to extend export power to other countries in East Africa.
Expected to take at least five years to be completed, the dam is one of three the Horn of Africa nation plans to begin building before mid 2011. Three other power plants, which have been under construction in the past few years, are expected to become functional in 2011.
Ethiopia considers itself an African powerhouse due to its high hydropower potential. However, experts say only a fraction of this potential has been exploited so far.
In 2009, less than 10 percent of Ethiopians had access to electricity and the country was plagued by power outages. In order to overcome this situation, the government has embarked on an ambitious power plant building program also as part of the recently launched ‘5 year development and transformation plan'.
The successful completion of this project power is hoped to increase the current electric power provision capacity of the country to 8,000 MW from the current rate of 2000 MW.
Ethiopia has plans to export power to its neighbors Sudan, Kenya, Djibouti and even across the Gulf of Aden to Yemen.
The government says the benefits of the dams are not limited to hydropower. Many dams are multi-purpose dams that are also designed to provide water for irrigation and flood control.
Almost all Ethiopia's power plants lie either in the Nile River basin or on the Omo River. Both rivers are shared with Ethiopia's neighbors and for none of them an international water sharing agreement exists. However, Ethiopia does participate in the Nile Basin Initiative, a forum for dialogue with the other Nile basin countries.
While hydropower does not consume water, the filling (impoundment) of reservoirs reduces the previous water flow. In addition, evaporation from the reservoir surfaces constitutes a permanent loss of water from the river. Irrigation also consumes water making it unavailable for it to be used downstream.
The Blue Nile joins the White Nile at its confluence in the Sudanese capital Khartoum. The Atbara River joins the Nile in north of Khartoum at the town of the same name. Ethiopia has no agreement with Egypt or Sudan about the sharing of the Nile's water. Egypt says that its historic water rights would be violated by dams in Ethiopia and that its water security would be affected.
Egypt and Sudan concluded a water sharing treaty in 1959. The agreement does not consider the water rights of other Nile riparian states and has never been recognized by Ethiopia. It is not known exactly to what extent the dams in Ethiopia will reduce the flow of water to Sudan and Ethiopia.
According to studies, assuming an evaporation rate of one meter per year, an irrigated area of 200,000 hectares and a combined reservoir area of 1,000 square kilometers, the flow of the Nile could be reduced by three billion cubic meters per year, equivalent to about 5 percent of the current allocation of Egypt under the 1959 agreement.
The Omo River flows to Lake Turkana in Kenya. Kenya has not expressed concerns about downstream impacts on Lake Turkana, although two environmental organizations, Friends of Lake Turkana and International Rivers, challenged the project in terms of its ecological soundness arguing that it threatens biodiversity in the Omo River and Lake Turkana,
The organizations also argue that it endangers the lives of large populations whose livelihoods depend on the rivers.


Ethiopia plans to build more power plants


ADDIS ABABA. Ethiopia may build as many as nine hydropower plants over the next 10 years, making electricity rather than coffee the Horn of Africa nation's biggest export.

"There is a deficit around our neighbors," Mekuria Lemma, head of the programmeplanning department at the stateowned Ethiopian Electric Power Co., said on Thursday in an interview in the capital, Addis Ababa. "If we are successful in doing this, power will be our biggest export."

Ethiopia is building five hydropower dams by 2011 with a total generating capacity of 3,150 megawatts and is considering spending 3,2 billion euros (US$4,7 billion) on four more, Lemma said.

The aim is an 11fold increase in capacity to 9,000 megawatts by 2018 with surplus power exported to neighboring Kenya, Djibouti, and Sudan.

Gibe IV, the largest of the four new projects, would cost about 1,9 billion euros and generate 2 000 megawatts. A feasibility study for Gibe River dam in southern Ethiopia should be finished by the middle of the year, Lemma said.

Ethiopia is seeking finance for three of the four proposed projects while the UK and Irelandbased FairFund Foundation will help fund the 470 millioneuro Halele Worabese dam on a tributary of the Gibe. FairFund declined to disclose the size of the notforprofit organisation's investment.

Italy's Salini Costruttori SpA is building three of the five dams currently under construction, including the US$1,7 billion Gibe III, which will generate 1,870 megawatts, Lemma said.

Ethiopia has initial agreements to export 200 megawatts to Djibouti, 500 megawatts to Kenya and 200 megawatts to Sudan when the five dams under construction are completed. It will also consider a 26-kilometre undersea transmission line for exporting electricity to Yemen via Djibouti.

A feasibility study on theUS$196 million project to connect Ethiopia and Kenya with transmission lines should be finished within the next two months. Those lines may eventually link Ethiopia's hydropower plants to the 12-nation Southern Africa Power Pool via Tanzania.

My intake:
Nyie shindaneni kujadili ujinga kule Dodoma kwenu na dada yenu yule sie kazi mbele kwa mbele-na baadhi ya mainjinia katika projects hizo za Ethiopia ni sisi watanzania na haturudi ng'o kwenye nchi hiyo iliyooza-laana
 
Kwa wale wanaojua how the freemasons operate, hakuna jipya hapa.This is a deliberately created crisis.And mind you this will not be the last. They create one crisis after another ili tushindwe kupanga mambo yetu,tukose matumaini na to loose confidence in ourselves and evenly tuwe easy to manipulate and rule.

Mkuu unaboa kichizi freemasons is just org na mambo yao tena hayafanyiki kihivyo unavyofikiri ni woga wako tu na sifa kuu ya kutambua utendaji wao lazima uwe mmoja wa watendaji wao so unabaki hapo ni umbea, woga na ufinyinyu wa kufikiri
 
Tusilaumu viongozi wetu wa bovu kila siku, kwani nani kawachagua? Tujilaumu sisi kwa kuchagua uchafu! Inatia kinyaa hata kufikiria uongozi wetu
 
Mgao umeanza upya, gesi imeadimika kutoka Songosongo

Watuambie Malaria Sugu (na watu wenye mawazo kama ya kwake) suluhisho la matatizo haya.

(Well, kwa wenye akili timamu: Huu ni ujumbe kwa malaria sugu na wenzake na hao anaowapigia debe tu sio wa kwenu.
 
Mwaka huu mpaka kikwete aondoke mwenyewe Ikulu yetu, kila jambo linamkuta na hakuna leadership yeyote kama jinsi tulikuwa tunajua. Mwacheni atumie umeme wa Ikulu kwa mara ya mwisho.

Kikwete anasafiri lini tena? Anakwenda nchi gani this time? Tunaomba walio na data za ccm tu-share...
 
Back
Top Bottom