Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kweli nchi hii inaelekea kubaya
Juzi maji yamlikatika tuna siku tatu hatuna maji maeneo ya tegeta
Asubuhi saa 11 najiandaa kwenye kazi umeme ukakatika mpaka natoka sa12.45
umeme ulikuwa haujarudi,
Nimekuja kazini umeme umekatika tokea sa5 asubuhi mpaka sasa sa 8 haujarudi generator
yetu imebuma mpaka sasa nasweat kama vile natoka mazoezini
Vipi huko ulipo umeme upo? mimi nik
Juzi maji yamlikatika tuna siku tatu hatuna maji maeneo ya tegeta
Asubuhi saa 11 najiandaa kwenye kazi umeme ukakatika mpaka natoka sa12.45
umeme ulikuwa haujarudi,
Nimekuja kazini umeme umekatika tokea sa5 asubuhi mpaka sasa sa 8 haujarudi generator
yetu imebuma mpaka sasa nasweat kama vile natoka mazoezini
Vipi huko ulipo umeme upo? mimi nik