- Thread starter
- #21
achamatusi ya nguoni tumelala gizani tangu jana usiku na mpaka tunaondoka akuna chai sababu ya umeme
atutake radhi huyo mbwa
hahahahah,mdau pole sana!ila sasa ndo serikali imethema
achamatusi ya nguoni tumelala gizani tangu jana usiku na mpaka tunaondoka akuna chai sababu ya umeme
atutake radhi huyo mbwa
Huyo naibu waziri na waziri wake wanafiki tu. hakuna lolote. wanaogopa kisago bungeni maana Kikao cha Bunge cha mwezi wa 11 ndiyo kimekaribia. hawana lolote hao wajiuzuru tu. hamkumbuki wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya Nishati na madini? Umeme uliwaka mfululizo tukadhani tatizo limekwisha kumbe walitaka bajeti yao ipite!
Serikali kupitia naibu waziri wa nishati na madin imesema kuwa kuanzia sasa mgao wa umeme umeshaisha hadi mwezi january,amesema kuwa hilo limesababishwa na kujaa kwa baadh ya mabwawa na pia kuna kampuni(jina nimelisahau)imeweza kuingza megawati kadhaa kwenye gridi ya TAIFA!
Je hapo ulipo kuna umeme?
Sosi:radio ONE
mkuu huku tandika azimio umeme umekatika ghafla kuanzia saa 8 mchana!serikali kupitia naibu waziri wa nishati na madin imesema kuwa kuanzia sasa mgao wa umeme umeshaisha hadi mwezi january,amesema kuwa hilo limesababishwa na kujaa kwa baadh ya mabwawa na pia kuna kampuni(jina nimelisahau)imeweza kuingza megawati kadhaa kwenye gridi ya taifa!
Je hapo ulipo kuna umeme?
Sosi:radio one
Serikali ya Kik wete ni wasanii sana wamesema hakuna mgao wa umeme lakini leo Arusha mjini hatuna umeme tangu saa saba mpaka sasa....Kwahiyo siyo mgao umeisha bali wamepostpond tatizo..waache tu tutawanyonga hawa tena kama Gaddafi
Yaani hawa jamaa ni wapumbavu kweli wanatuambia hakuna mgao wakati watu tunaendelea kupigika na mao au Arusha siyo Tanzania.......achamatusi ya nguoni tumelala gizani tangu jana usiku na mpaka tunaondoka akuna chai sababu ya umeme
atutake radhi huyo mbwa
Arusha pia hakuna au wametangaza hakutakuwa na mgao Ikulu, Bungeni na kwenye majeshi....Sasa hivi umeme morogoro hakuna we unasema mgao umeisha labda kwao ndo umeisha
au aliimanisha mgao utaongezeka kwa miezi hiileo wamekata kuanzia mwenge mpaka mbagala.
au aliimanisha mgao utaongezeka kwa miezi hii