Mgao umeanza tena?

Mlipo ambiwa yafanyike mageuzi kwenye uchaguzi wa 2010 kanga, kofia na hizo flana mkaona CCM ni chama hayo ndio matokeo yake ni mgao mpaka 2015
 
Kumbuka kuwa inafungwa mitambo mipya na ni lazima kutokee usumbufu mpaka itakapo kamilika kufungwa. Kama unabisha muite hata fundi umeme nyumbani tu, kabla hajakuwekea nyaya mpya atakutaka mzime umeme kama unawaka seuse mitambo mikubwa.

kama hujui unachotaka kukiongea ni bora unyamaze .
 
ni kweli sehemu nyingi tunalalamika kuongezeka kwa makali ya mgawo tangu bajeti ipite.
Serikali inabidi ituambie hizo Megawatt sasa zinaenda wapi hadi makali yanazidi kuongezeka kila kukicha.
Bila shaka hapa kuna harufi ya ufisadi mwingine ,unawaze kukuta wakuu wanakula hata fedha ya mafuta ya kuendeshea mitambo
 
mgao hukuisha
nafuu ilikuja ili bajeti ipite tu..
sasa kila mtu ki mpango wake....

Teh teh teh

Me hilo nililijua kabisa na ndvyo hivyo tutakavyo danganywa mpango wa dharura ya umeme sio mwisho December 2012 bali ni 2014 December ndio mgao utapungua na mkitaka tusifike huko ni kuingia barabarani wote ndio swala la umeme lote litakwisha mapema hiyo December 2012

 
Back
Top Bottom