LINC
Member
- May 26, 2009
- 38
- 0
Kutokana na uchakavu wa mitambo bla bla bla... mgao wa umeme kuanza nchini kote kuanzia saa 12 jioni hadi saa nne (+or -) .. bla bla bla..
Habari ndiyo hiyo.. miradi ya Jenereta iko juu! Hatimaye salimu amri mnunue majenereta ya Dowans kwa Bilioni 69 ambayo mmeshawalipa bilioni karibu 40 kuyasafirisha!
Bongo tambarare bwana tumeshazoea adha aina zote ndio maana mtanzania nchi yoyote anaweza kuishi isipokuwa yenye vita tu sababu hatujazoea. Haijawahi kutokea ndani ya Mwezi mzima umeme uwe stable bila kukatika hovyo na muda mwingine bila taarifa.