ABEDNEGO
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 109
- 30
Leo asubuhi toka ninatoke home Kibamba kwa Mkurya nimehesabu mabango ya Mganga wa jadi kutoka Sumbawanga hadi Ubungo kwenye mata yapata 19 ,Ni mabango tofauti yako kando ya barabara na moja pale Kimara Baruti liko kituoni kabisa,Sasa swali langu, Kwanza haya mabango wanalipia ushuru? Pili hawa waganga wa Sumbawanga ndiyo wana soko sana hapa Jijini? Na ni kwanini wajitangaze hivyo?Ina maana kwetu tuliotoka Sumbawanga ndiko chimbuko la uganga wa jadi????