Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
palikua na mabishano juu ya uganga feki alionao mganga mmoja mgeni hapo kijijini!!Wazee wakisema huyu ndo mganga wa ukweli, lakini kijana mmoja alisisitiza hapana huyu ni tapeli tu!
Wazee walimmaindi kijana wakamtaka athibitishe kauli yake, na mzee mmoja aliahidi kumpa binti yake kigori kama angeweza kuthibitisha,kijana alikosa la kujibu!
Teja mmoja alikua pembeni baada ya kuona mzee kamweka bondi binti yake, nayeye hana sifa nzuri hapo kitaani. Teja akaomba apewe yeye hiyo kazi ya kuthibitishia mbona jambo dogo tu!
Jioni yake Teja alienda kwa yule mganga!
TEJA: Mganga mi nimetokea kijiji cha pili hapo,kuna jirani yetu anatabia ya upopo bawa halafu anatamba kuwa leo anakuja kwangu na hakuna mganga wa kumzuia,na ikitokea mganga akazuia basi kesho yake mganga huyo lazima apitiwe yeye!
Mganga akampa dawa na kumuhakikishia hakuna kibaya kitakacho tokea!
Kesho asubuhi yule teja aliwakusanya wale wazee wakaenda mpaka nyumbani kwa mganga!
Walipofika mlangoni wakakuta kibao kimeandikwa.
MGANGA AMEHAMA
yule mzee alizimia.
Wazee walimmaindi kijana wakamtaka athibitishe kauli yake, na mzee mmoja aliahidi kumpa binti yake kigori kama angeweza kuthibitisha,kijana alikosa la kujibu!
Teja mmoja alikua pembeni baada ya kuona mzee kamweka bondi binti yake, nayeye hana sifa nzuri hapo kitaani. Teja akaomba apewe yeye hiyo kazi ya kuthibitishia mbona jambo dogo tu!
Jioni yake Teja alienda kwa yule mganga!
TEJA: Mganga mi nimetokea kijiji cha pili hapo,kuna jirani yetu anatabia ya upopo bawa halafu anatamba kuwa leo anakuja kwangu na hakuna mganga wa kumzuia,na ikitokea mganga akazuia basi kesho yake mganga huyo lazima apitiwe yeye!
Mganga akampa dawa na kumuhakikishia hakuna kibaya kitakacho tokea!
Kesho asubuhi yule teja aliwakusanya wale wazee wakaenda mpaka nyumbani kwa mganga!
Walipofika mlangoni wakakuta kibao kimeandikwa.
MGANGA AMEHAMA
yule mzee alizimia.