Mganga na popo bawa

Mtanzanika

JF-Expert Member
Feb 27, 2012
2,389
1,131
palikua na mabishano juu ya uganga feki alionao mganga mmoja mgeni hapo kijijini!!Wazee wakisema huyu ndo mganga wa ukweli, lakini kijana mmoja alisisitiza hapana huyu ni tapeli tu!
Wazee walimmaindi kijana wakamtaka athibitishe kauli yake, na mzee mmoja aliahidi kumpa binti yake kigori kama angeweza kuthibitisha,kijana alikosa la kujibu!
Teja mmoja alikua pembeni baada ya kuona mzee kamweka bondi binti yake, nayeye hana sifa nzuri hapo kitaani. Teja akaomba apewe yeye hiyo kazi ya kuthibitishia mbona jambo dogo tu!

Jioni yake Teja alienda kwa yule mganga!
TEJA: Mganga mi nimetokea kijiji cha pili hapo,kuna jirani yetu anatabia ya upopo bawa halafu anatamba kuwa leo anakuja kwangu na hakuna mganga wa kumzuia,na ikitokea mganga akazuia basi kesho yake mganga huyo lazima apitiwe yeye!
Mganga akampa dawa na kumuhakikishia hakuna kibaya kitakacho tokea!
Kesho asubuhi yule teja aliwakusanya wale wazee wakaenda mpaka nyumbani kwa mganga!
Walipofika mlangoni wakakuta kibao kimeandikwa.
MGANGA AMEHAMA
yule mzee alizimia.
 
A priest offered a Nun a lift. She got in and crossed her legs, forcing her gown to reveal a leg. The priest nearly had an accident. After controlling the car, he stealthily slid his hand up her leg. The nun said, 'Father, remember Psalm 129?' The priest removed his hand. But, changing gears, he let his hand slide up her leg again. The nun once again said, 'Father, remember Psalm 129?' The priest apologized 'Sorry sister but the fleshis weak.' Arriving at the convent, the nunsighed heavily and went on her way. On his arrival at the church, the priest rushed to look up Psalm 129. It said, 'Go forth and seek, further up, you will find glory.' Moral of the story: If you are not well informed in your enviroment, you might miss a great opportunity.
 
palikua na mabishano juu ya uganga feki alionao mganga mmoja mgeni hapo kijijini!!Wazee wakisema huyu ndo mganga wa ukweli, lakini kijana mmoja alisisitiza hapana huyu ni tapeli tu!
Wazee walimmaindi kijana wakamtaka athibitishe kauli yake, na mzee mmoja aliahidi kumpa binti yake kigori kama angeweza kuthibitisha,kijana alikosa la kujibu!
Teja mmoja alikua pembeni baada ya kuona mzee kamweka bondi binti yake, nayeye hana sifa nzuri hapo kitaani. Teja akaomba apewe yeye hiyo kazi ya kuthibitishia mbona jambo dogo tu!

Jioni yake Teja alienda kwa yule mganga!
TEJA: Mganga mi nimetokea kijiji cha pili hapo,kuna jirani yetu anatabia ya upopo bawa halafu anatamba kuwa leo anakuja kwangu na hakuna mganga wa kumzuia,na ikitokea mganga akazuia basi kesho yake mganga huyo lazima apitiwe yeye!
Mganga akampa dawa na kumuhakikishia hakuna kibaya kitakacho tokea!
Kesho asubuhi yule teja aliwakusanya wale wazee wakaenda mpaka nyumbani kwa mganga!
Walipofika mlangoni wakakuta kibao kimeandikwa.
MGANGA AMEHAMA
yule mzee alizimia.

mm ningejifanya nimekufa maana kumuozesha mwanangu m2 mlev noma.
 
Back
Top Bottom