ok inatakiwa dose gani wakuu?maana hospital siku hizi ni biashara kumuona doctor elfu 10 kufungua file elf 5 so nikimaliza humu humu itakuwa mzuka maana hiyo elfu 15 itafaa kununua full dose
si muende hospitali.....
wote tunatoa huo utoko,lakini hausmell....huyo mkeo labda ana infection,nendeni mkamuona daktari....
Tafsida . . . . ?
sijui kuficha zaidi ya hapo,nisaidie.....
Hiyo ni vagina candidiasis, fungus ya ukeni, hapo ni dawa tu, cotrimazole pessaries kwa siku sita au gynazole pessaries kwa siku sita, inapachikwa ukeni kila usiku mkeo anapoenda kulala. Inatibika wahi mapema.
Kumbe hili tatizo linawakumba kinadada wengi kumbe???
Saaaana na huwa linajirudia baada ya muda. Kama malaria vile unatibu leo unapona unakaa unasahau halafu inakukamata tena
sijui kuficha zaidi ya hapo,nisaidie.....
Aisee je ina athari kwa upande wa pili? Maana dushelele si ndio linaingia kunako na linatoka na mayonaizi na mengine si yaningia kwa ndani ya dushelele,vp madhara yake kwa m/me?