Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,827
Hanington kafukuzwa ndani ya jumba kwa kumpiga lerato.
Hii imetokea muda mfupi tu uliopita.
Hii imetokea muda mfupi tu uliopita.
Hanington kafukuzwa ndani ya jumba kwa kumpiga lerato.
Hii imetokea muda mfupi tu uliopita.
Aiseeeeeeee!!![/QUOTE]
Next time usitumie neno hilo mana watu wa jukwaa la siasa/uchaguzi 2010 watakuelewa vibaya....
Huwa nawashangaa sana watu wenye kauli kama zako...hvi kama hujapendezwa na BBA na mapenzi yako kwenye ze comedy au futuhi au episode zingine kwako zinaoonekana kuwa na maadili..hulazimishwi kuangalia..BTW package ya BBA ipo kwenye premium so kama huitaji hulazimishwi kuliipia.Najua mapenzi ya njiwa yapo kwenye mipasho ya mzee yusuph na watu tunatofautiana sana utashi wa kupenda vitu.hili shindano upuuzi mtupu? na halina maadili
Hulka za watu zipo tofauti ndo maana haya hutokea na watu wengi wanashindwa kuzuia rangi zao halisi pale gambe linapochukua nafasi yake..hapo ndo rangi halisi ya mshiriki huonekana..Mifano hai imeonekana kwa K1...yacob etc nahisi Lera alikuwa kwenye siku mbaya ndo mana akawa mkali na matusi kumtoka pasipo breki mdomoniJamani nadhani mjengoni kunakuwa na stress sana ndo maana hawa jamaa wanakorofishana mara kwa mara!
Hii kitu watu wenye akili zao hawawezi kuifuatilia. What value does it add?? Kuoga uchi kwenye luninga? I don't understand!!