Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Iramba
2015 nasikia atagombea tena ubunge! Nitamtoa utumbo nje kwani na mimi nitagombea ubunge wa jimbo hilo hilo la Iramba mashariki kupitia chama makini CHADEMA. Uwezo na sifa ninazo.
2015 nasikia atagombea tena ubunge! Nitamtoa utumbo nje kwani na mimi nitagombea ubunge wa jimbo hilo hilo la Iramba mashariki kupitia chama makini CHADEMA. Uwezo na sifa ninazo.
yeye ndiye alishindwa na mwigulu?kama ndivyo mwigulu kazi anayo 2015
Msindai maarufu kama crdb,mbunge mstaafu wa jimbo la iramba amewagaragaza wapinzani wake akiwemo kijana wa miaka 34 amani rai,hongera sana
Anaitwa Salome Mwambu,mwanamke mmoja asiyejua bungeni amekwenda kufanya nini hata baada ya kuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa miaka mingiHapana sio mwigulu ni mama mmoja jina ni salome tena tangu achaguliwe hajawah hata kufika kijijni
Very true. na hilo jina la CRDB maana yake nini? Njia ya CDM kuongeza wabunge kutoka Singida nyeupeeeeee.
Siyo Mbunge mstaafu Mkuu. Huyu alishindwa kwenye kura za maoni. So ni Mbunge aliyeshindwa kutetea kiti chake..
Msindai ndiye aliyenifanya nijue kuwa katika uendeshaji wa serikali tanzania kuna rushwa kati ya taasisi na taasisi.nikiwa bado mgeni ktk utumishi wa serikali za mitaa,nilitambua kuwa ili taarifa ya halmashauri ipite kirahisi mbele ya kamati ya bunge ya mahesabu ya fedha ya serikali za mitaa (laac) lazima lipelekwe fungu la kutosha.mwenyekiti wa laac alikuwa msindai.kusema kweli ilifika wakati hakuna halmashauri iliyopita mbele ya msindai bila kupeleka chochote.kwa mzee huyu ufisadi sawa na damu mwilini