uandishi kazi ndo mana kuna mhariri, humu jf unatwanga tu.Unaelezea kama wote tulikuwepo au tunajua hizo newz BTW Hongera zao
Du kila kitu siasa wakati watu wana machungu na hasira sema ......wanacheka machoni lakini moyoni wanauchungu wa asilimia mia......hata kama utawala bora lakini hili la ajira serikali imechemkaaaaaaaaaaaa., vijana tunaumia.Uhakiki hautazidi miezi miwili, mgambo waajiriwe na jwtz, Oljoro kuna watu kuyoka jkt kwendq mafunzo ya TPDF tokea mwezi wa tatu adi leo wamebaki kua wazalendo tu....kozi inazidi kuyeyuka tu.
Kweli wanasiasa wanajua kuchezea akili ya watu waraisi kama waTanzania.
Du kila kitu siasa wakati watu wana machungu na hasira sema ......wanacheka machoni lakini moyoni wanauchungu wa asilimia mia......hata kama utawala bora lakini hili la ajira serikali imechemkaaaaaaaaaaaa., vijana tunaumia.
ASEME NA AWEKE WAZI ILI VIJANA WAENDELEE NA KAZI ZAO ZA MSINGI KWA AJILI YA UCHUMI WA NCHI SIO SIASA.Kuna kitu akiko sawa upande wa ajira, hivi ukiwa rais wa nchi ukisimama na kusema ajira adi mwaka kesho mwezi wa tano kwani bado tunaweka mambo sawa nani atakaekupiga?