Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,179
- 85,337
JAMANI mwenzenu jana na mimi nilionja adha ya kubambikwa kesi.... nitarudi muda si mrefu kusimulia kwani sasa naenda kuwaona na kuangalia utaratibu wa kupelekana mbali unakaaje, ila kwa kifupi ni kwamba ilikuwa kesi ya kuwauliza kwa nini wanafanya kazi bila vitambulisho na hii ilikja baada ya wao kumkamata dada eti kiji-stationery chake hakina dust-bin.
Baadae
Baadae