Nasafiri ndani ya basi la ngorika kutoka Moshi kuja Dar Gari la magereza limeleta mfungwa akiwa na maaskari magereza watatu
Swali langu wana JF je ni kawaida kusafirisha mfungwa kwenye public transport tena akiwa amefungwa pingu?
Sasa hivi nchi yetu haiko kwenye hali ya kawaida! Kwenye movie hapo ingekuwa arranged ajali afu achukuliwe na makubwa ya maadui! Bongo ndo home wallah!
Hayo ya kawaida sana Bongo haswa kama anasafrshwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingne.ila swali kubwa la kujiuliza;huyo mfungwa ana tuhuma gani?askari km walibeba bunduki inaweza ku7bisha madhara gani kwa abiria?na kuna uhalali gani kufanya ivyo?
Kisheria mfungwa anapokuwa katika public transport hairuhusiwi kumtia pingu kwa kuwa dhamana ya usalama wa abiria wote ina kuwa chini ya dereva-basila abiria,rubani ndege,nahodha meli.boti nk
Mkuu Clarity Mshukuru mungu kwa kuwa mlifika salama haikutokea ajali ya kutengeneza ili mahabusu aokolewe. Nadhani kesi yake ilikuwa ni ya kukaba...ingekuwa ni kesi kama ya mauwaji au wizi wa mabilioni wasingempeleka dar kwa Ngorika....defender ingetumika
Sasa hivi nchi yetu haiko kwenye hali ya kawaida! Kwenye movie hapo ingekuwa arranged ajali afu achukuliwe na makubwa ya maadui! Bongo ndo home wallah!
Kiulizni ni hatari sana na haipaswi kusafirishwa hivyo, kwani kunaweza kutokea njama za kumtorosha kwa kuliteka Basi.
Pia hairuhusiwi kuingia na Silaha aina yoyote ndani ya Basi la Abiria, na hao Askari bila shaka kama walikuwa hawana bunduki huenda walikuwa na Pistol ambapo ni hatari sana.
Walipaswa kwa safari ndefu kama hiyo kutumia usafiri wa binafsi na siyo basi la abiria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.