Mfungo na kupanda kwa bei za vyakula!!

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
Wana Jf naombeni ufafanuzi hii imekuwa inanichanganya sana, mimi nilikuwa naamini kwamba wenzetu Waislamu watakapoanza Mfungo itapelekea demand yaani mahitaji ya vyakula masokoni kupungua sana hivyo vyakula vitakosa masoko na vitashuka sana bei, lakini cha ajabu mfungo umeanza na vyakula masokoni vimepanda bei kwasababu vinahitajika sana kipindi hiki cha mfungo, sasa najiuliza inakuweje kipindi ambacho watu wamefunga kula ndo chakula kinahitajika zaidi?
 
Wana Jf naombeni ufafanuzi hii imekuwa inanichanganya sana, mimi nilikuwa naamini kwamba wenzetu Waislamu watakapoanza Mfungo itapelekea demand yaani mahitaji ya vyakula masokoni kupungua sana hivyo vyakula vitakosa masoko na vitashuka sana bei, lakini cha ajabu mfungo umeanza na vyakula masokoni vimepanda bei kwasababu vinahitajika sana kipindi hiki cha mfungo, sasa najiuliza inakuweje kipindi ambacho watu wamefunga kula ndo chakula kinahitajika zaidi?

Hii hata mimi nimeishuhudia sana, ila baada ya utafiti nikagundua kwamba kipindi cha mfungo watu wengu ndo wanakula zaidi maana wanachokifanya wanabadirisha ratiba toka asubuhi hawali wanakula jioni sana "kufuturu" ambayo mtu anaweza akala kiasi cha kuvimbiwa na anadamka mida mibaya kupiga tena msosi kwa hiyo anakuwa amekula mara mbili ileile isipokuwa katika hizo marambili anasindilia ipasavyo.
 
Waislamu huwa hawafungi wale, ila wanabadili ratiba ya kula chakula tu. Mimi kuna jirani yangu hapa huwa halali usiku, ni kupiga msosi kwa kwenda mbele tu.
 
Hii hata mimi nimeishuhudia sana, ila baada ya utafiti nikagundua kwamba kipindi cha mfungo watu wengu ndo wanakula zaidi maana wanachokifanya wanabadirisha ratiba toka asubuhi hawali wanakula jioni sana "kufuturu" ambayo mtu anaweza akala kiasi cha kuvimbiwa na anadamka mida mibaya kupiga tena msosi kwa hiyo anakuwa amekula mara mbili ileile isipokuwa katika hizo marambili anasindilia ipasavyo.

Unataka kusema kwamba neno "Kufuturu" linamaanisha "Kuvimbiwa?"
 
Waislamu huwa hawafungi wale, ila wanabadili ratiba ya kula chakula tu. Mimi kuna jirani yangu hapa huwa halali usiku, ni kupiga msosi kwa kwenda mbele tu.

Na mimi nina mtazamo kama huo, haiwezekani watu wakiwa wanakula kama kawaida hakuna shortage ya vyakula lakini wakifunga ndo magunia ya vyakula yanatokomea masokoni
 
Back
Top Bottom