Wadau hali kwa sasa inatisha sana, Nimelazimika kuacha kunywa bia, soda na juyce kutokana na bei zake kupanda ghafla kabla hata mshahara haujabadilika. Hata maji inabidi nichemshe haya yakawaida kwani kunywa maji ya chupa ni anasa. hebu fikiria mshahara sh. 300,000/= kwa mwezi, wastani wa msimbazi kwa siku. bajeti yake ni lazima ukune kichwa.