mfumo wa analog to digital

olele

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
1,303
1,559
habari zenu wakuu,
naomba msaada kujua kuhusu hii system ambayo nchi yetu inaingia mwishoni mwa mwaka huu, kuzima mitambo yote ya
analog na kuingia kwenye mfumo mpya wa digital, naomba mwenye kujua hasa what is all about yaani nini kinaathirika, kama vile hizi tv zetu zitaathirikaje au hazitafanya kazi kabisa watu wanunue tv za aina gani? vipi kuhusu radio ni radio gani zitakua zinafunction au zenyewe hazihusiki, vipi kuhusu radio station coz radio station zinaanzishwa kila siku wao waponaje hapa, naomba msaada au ni wapi naweza kupata majibu haya mayb kuna web za serikali zinatoa elimu hii,
kwenu ma great thinker.
 
Mfumo wa digitar hapa bongo ni utapeli. Ufisadi. Wizi. Wala usikonde ndugu yangu kwa sasa we tulia tu. Redio za fm bado zitafanya kazi hadi 2015. Tv za chogo pia zitafanya kazi kupitia dekoda maalumu
 
Mfumo wa digitar hapa bongo ni utapeli. Ufisadi. Wizi. Wala usikonde ndugu yangu kwa sasa we tulia tu. Redio za fm bado zitafanya kazi hadi 2015. Tv za chogo pia zitafanya kazi kupitia dekoda maalumu
izo decoda ni zipi mkuu, je receiver za kawaida kama vile Mediacom zitaathirika?
 
Kuna thread humu liliongelewa kwa marefu na mapana, nakushauri jaribu kuitafuta. Kwa kifupi kama TV yako haina digital tuner ambayo ni compatible na system itakayotumika bongo (DVB-T) basi itabidi ununue TV mpya au ununue decoder itakayochukua digital signal na kuigeuza kuwa analog kwa jili ya TV yako.
 
Ni kwamba signal zitakuwa zinasafirishwa kwa mfumo wa digitali, sasa tv nyingi za zamani hazina uwezo wa kusoma signal hizo. zinaweza kusoma signal za alanogy. Hivyo basi itakubidi uwe na kifaa cha kubadili digital signal to analogy signal ili tv yako iweze kusoma, au uwe na tv za kisasa ambazo zinauwezo wa kusoma digita signal.
 
izo decoda ni zipi mkuu, je receiver za kawaida kama vile Mediacom zitaathirika?

wenye recever na madish yao wataendelea ila kama utaona mfumo wa kutumia ving'amuzi vya digital ni mzur zaid waweza jiunga isipokuwa nje ya hapo bila dish utahitajika nunua king'amuz cha digital c bei sana tbc wanauza 38 ni bei ya chin wengine wana bei zaid. Kuna swali tena?
 
Mkuu mimi na swali hapo umesema hizi tv za chogo hazi wezi ku convert analog to digital na je ikifika huo mda na ukawa unatumia na dishi sio kingamuzi je zitaonyesha au nayo ukitaka kutumia dish mpaka ununue tv za digital
 
Mkuu mimi na swali hapo umesema hizi tv za chogo hazi wezi ku convert analog to digital na je ikifika huo mda na ukawa unatumia na dishi sio kingamuzi je zitaonyesha au nayo ukitaka kutumia dish mpaka ununue tv za digital
mkuu, whatever TV you own, unachohitaji ni king'amuzi. Unless kama utaamua kutafuta TV yenye built in king'amuzi, ambayo so far nafahamu star times ndo wanazo. Ila kama hutaki star times, huna haja na hiyo TV yao. Maana kuna Easy TV, TING, Zuku, DsTV, ama FTA Decoders. Usiitupe chogo yako, bado inalipa.
 
Mkuu mimi na swali hapo umesema hizi tv za chogo hazi wezi ku convert analog to digital na je ikifika huo mda na ukawa unatumia na dishi sio kingamuzi je zitaonyesha au nayo ukitaka kutumia dish mpaka ununue tv za digital

hapana tv zote hata chogo zinaendana na dish pamoja na digital ya kutumia king'amuz kwahyo maamuz ni yako isipokuwa kuna tv model mpya aina ya flat zimekuwa convected na zimerahisishwa kwenda digital sasa hzo nazo zinautaratibu wake kwasabu unaweza ukanunua flat bila kujua kuwa ni ya mfumo wa zamani afu ukawa sawa na wenye tv za chogo. Kwahyo hata baada ya mda kufika chogo na dishi vyote vitaendelea.
 
Sina shida na mtu naenda kuongeza dvd player mpya na ya ukwel Then nanunua cd's za kutosha hapo ni bandika bandua nikita habari nokia yangu popote nalog in jf hapa ni zaid ya habari! Kaz kwisha!

yaan nch zilizo endelea zenyewe zimesema dgital 2015, nchi yenyewe hii maskin ijisogeze iseme 2012 kwann hasa kipya!!
 
Back
Top Bottom