CCM walitangaza Kuvuana Magamba Kukinusuriu Chama, kwa Kuanzia Wakawapoint wananchama wake Watatu kwamba Ndiyo Magamba Ndani ya Chama na kwamba wakijivua Uanachama pamoja na Nafasi zao zote basi Chama Kingerudi enzi za Kambarahe Nyerere yaani " Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi". Ikatjitokeza Timu ya Wana CCM "WATAKATIFU" Wakiongozwa na Nape Kuzunguka Nchi Nzima na kutuelezea Wanachama wake Ubaya wa Rostam ( Kama Gamba Kuu), Chenge na Lowasa, wakasema kwamba Jamaa wamepewa siku Tisini (90) wapimime wenyewe la Sivyo Chama kingechukua Hatua.
Timu ifuatayo kwa Nyakati Mbalimbali Ilizunguka Nchi Nzima Kuelezea Gamba na Nani Magamba Ndani ya CCM
1. Samwel Sita
2. Nape Nnauye
3. Wilson Mukama
4. John Chiligati
5. Mwigulu Nchemba
6. Anne Kilango Malecela
7. Christopher Ole Sendeka
8. Lazaro Nyarandu
9. Harison Mwakyembe
10. Lucas Lumambo Selelii
11...
12....
Kati ya Magamba Matatu Moja Limeshasalimu Amri, Limejivuka nalo ni Rostam. Lakini cha Kusngaza ni kwamba Baada ya Gamba Rostam Kuvuka ule Moto wa Kuvuana Magamba umetulia. Sasa naogopa Kujiuliza kwamba Ukiangalia Majina ya Makamanda waliokuwa wanaongoza Moto wa Kujivua Gamba na Gomba Lilivuka na Utulivu uliopo dhidi ya Haya Magamba Mengine Huenda Rostam ameshughulikiwa Kwa Vile Na Mfumo K.risto.
Ningependa Kupata michango kutoka Kwa Makada wa CCM hapa JF, Rejao, FaizaFoxy, Rizt, Malaria Sugu juu ya Vita ya Kuvuana Magamba, je Inaendelea au Imekufa Baada ya Mlengwa Kujivua GAMBA?
Timu ifuatayo kwa Nyakati Mbalimbali Ilizunguka Nchi Nzima Kuelezea Gamba na Nani Magamba Ndani ya CCM
1. Samwel Sita
2. Nape Nnauye
3. Wilson Mukama
4. John Chiligati
5. Mwigulu Nchemba
6. Anne Kilango Malecela
7. Christopher Ole Sendeka
8. Lazaro Nyarandu
9. Harison Mwakyembe
10. Lucas Lumambo Selelii
11...
12....
Kati ya Magamba Matatu Moja Limeshasalimu Amri, Limejivuka nalo ni Rostam. Lakini cha Kusngaza ni kwamba Baada ya Gamba Rostam Kuvuka ule Moto wa Kuvuana Magamba umetulia. Sasa naogopa Kujiuliza kwamba Ukiangalia Majina ya Makamanda waliokuwa wanaongoza Moto wa Kujivua Gamba na Gomba Lilivuka na Utulivu uliopo dhidi ya Haya Magamba Mengine Huenda Rostam ameshughulikiwa Kwa Vile Na Mfumo K.risto.
Ningependa Kupata michango kutoka Kwa Makada wa CCM hapa JF, Rejao, FaizaFoxy, Rizt, Malaria Sugu juu ya Vita ya Kuvuana Magamba, je Inaendelea au Imekufa Baada ya Mlengwa Kujivua GAMBA?