Mfumo KRISTO Umemponza Rostam Ndani ya CCM?

Status
Not open for further replies.

Left Wing

Member
Mar 28, 2010
53
20
CCM walitangaza Kuvuana Magamba Kukinusuriu Chama, kwa Kuanzia Wakawapoint wananchama wake Watatu kwamba Ndiyo Magamba Ndani ya Chama na kwamba wakijivua Uanachama pamoja na Nafasi zao zote basi Chama Kingerudi enzi za Kambarahe Nyerere yaani " Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi". Ikatjitokeza Timu ya Wana CCM "WATAKATIFU" Wakiongozwa na Nape Kuzunguka Nchi Nzima na kutuelezea Wanachama wake Ubaya wa Rostam ( Kama Gamba Kuu), Chenge na Lowasa, wakasema kwamba Jamaa wamepewa siku Tisini (90) wapimime wenyewe la Sivyo Chama kingechukua Hatua.

Timu ifuatayo kwa Nyakati Mbalimbali Ilizunguka Nchi Nzima Kuelezea Gamba na Nani Magamba Ndani ya CCM

1. Samwel Sita
2. Nape Nnauye
3. Wilson Mukama
4. John Chiligati
5. Mwigulu Nchemba
6. Anne Kilango Malecela
7. Christopher Ole Sendeka
8. Lazaro Nyarandu
9. Harison Mwakyembe
10. Lucas Lumambo Selelii
11...
12....

Kati ya Magamba Matatu Moja Limeshasalimu Amri, Limejivuka nalo ni Rostam. Lakini cha Kusngaza ni kwamba Baada ya Gamba Rostam Kuvuka ule Moto wa Kuvuana Magamba umetulia. Sasa naogopa Kujiuliza kwamba Ukiangalia Majina ya Makamanda waliokuwa wanaongoza Moto wa Kujivua Gamba na Gomba Lilivuka na Utulivu uliopo dhidi ya Haya Magamba Mengine Huenda Rostam ameshughulikiwa Kwa Vile Na Mfumo K.risto.

Ningependa Kupata michango kutoka Kwa Makada wa CCM hapa JF, Rejao, FaizaFoxy, Rizt, Malaria Sugu juu ya Vita ya Kuvuana Magamba, je Inaendelea au Imekufa Baada ya Mlengwa Kujivua GAMBA?
 
CCM walitangaza Kuvuana Magamba Kukinusuriu Chama, kwa Kuanzia Wakawapoint wananchama wake Watatu kwamba Ndiyo Magamba Ndani ya Chama na kwamba wakijivua Uanachama pamoja na Nafasi zao zote basi Chama Kingerudi enzi za Kambarahe Nyerere yaani " Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi". Ikatjitokeza Timu ya Wana CCM "WATAKATIFU" Wakiongozwa na Nape Kuzunguka Nchi Nzima na kutuelezea Wanachama wake Ubaya wa Rostam ( Kama Gamba Kuu), Chenge na Lowasa, wakasema kwamba Jamaa wamepewa siku Tisini (90) wapimime wenyewe la Sivyo Chama kingechukua Hatua.

Timu ifuatayo kwa Nyakati Mbalimbali Ilizunguka Nchi Nzima Kuelezea Gamba na Nani Magamba Ndani ya CCM

1. Samwel Sita
2. Nape Nnauye
3. Wilson Mukama
4. John Chiligati
5. Mwigulu Nchemba
6. Anne Kilango Malecela
7. Christopher Ole Sendeka
8. Lazaro Nyarandu
9. Harison Mwakyembe
10. Lucas Lumambo Selelii
11...
12....

Kati ya Magamba Matatu Moja Limeshasalimu Amri, Limejivuka nalo ni Rostam. Lakini cha Kusngaza ni kwamba Baada ya Gamba Rostam Kuvuka ule Moto wa Kuvuana Magamba umetulia. Sasa naogopa Kujiuliza kwamba Ukiangalia Majina ya Makamanda waliokuwa wanaongoza Moto wa Kujivua Gamba na Gomba Lilivuka na Utulivu uliopo dhidi ya Haya Magamba Mengine Huenda Rostam ameshughulikiwa Kwa Vile Na Mfumo K.risto.

Ningependa Kupata michango kutoka Kwa Makada wa CCM hapa JF, Rejao, FaizaFoxy, Rizt, Malaria Sugu juu ya Vita ya Kuvuana Magamba, je Inaendelea au Imekufa Baada ya Mlengwa Kujivua GAMBA?

KUMBE CCJ NI CHAMA CHA KIKRISTO EEH,MAANA HAO MAKAMANDA WOTE HAPO NAONA NI WANACHAMA WAANZILISHI WA CCJ WASUBIRI SUMU YA NGOZI SASA KAZI KWAO aaaaaaaaaaaaaa;;PATAMU SANA
 
Mtajijua wenyewe na chama chenu kilichooza..ufisadi unanuka kila kona.
 
Mawazo yako kweli finyu sana mawazo ya mfumo huo sasa yametoka wapi tena Tanzania haina udini, ukabila na wala ubaguzi wa rangi ni mtazamo hasi ulionao wewe juu ya watu hao
 
Mkuu Nime connect Dot tu Mawazo yangu yaweza kuwa Sahihi ila Maadam kuna Makada wa CCM hapa Rejao, FF, Malaria Sugu na wengine watakuja Kulitolea Maelezo

Mkuu unawataja Macebrity wa JF? Ngoja wakushukie kama Mwewe. Mimi simo
 
CCM walitangaza Kuvuana Magamba Kukinusuriu Chama, kwa Kuanzia Wakawapoint wananchama wake Watatu kwamba Ndiyo Magamba Ndani ya Chama na kwamba wakijivua Uanachama pamoja na Nafasi zao zote basi Chama Kingerudi enzi za Kambarahe Nyerere yaani " Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi". Ikatjitokeza Timu ya Wana CCM "WATAKATIFU" Wakiongozwa na Nape Kuzunguka Nchi Nzima na kutuelezea Wanachama wake Ubaya wa Rostam ( Kama Gamba Kuu), Chenge na Lowasa, wakasema kwamba Jamaa wamepewa siku Tisini (90) wapimime wenyewe la Sivyo Chama kingechukua Hatua.

Timu ifuatayo kwa Nyakati Mbalimbali Ilizunguka Nchi Nzima Kuelezea Gamba na Nani Magamba Ndani ya CCM

1. Samwel Sita
2. Nape Nnauye
3. Wilson Mukama
4. John Chiligati
5. Mwigulu Nchemba
6. Anne Kilango Malecela
7. Christopher Ole Sendeka
8. Lazaro Nyarandu
9. Harison Mwakyembe
10. Lucas Lumambo Selelii
11...
12....

Kati ya Magamba Matatu Moja Limeshasalimu Amri, Limejivuka nalo ni Rostam. Lakini cha Kusngaza ni kwamba Baada ya Gamba Rostam Kuvuka ule Moto wa Kuvuana Magamba umetulia. Sasa naogopa Kujiuliza kwamba Ukiangalia Majina ya Makamanda waliokuwa wanaongoza Moto wa Kujivua Gamba na Gomba Lilivuka na Utulivu uliopo dhidi ya Haya Magamba Mengine Huenda Rostam ameshughulikiwa Kwa Vile Na Mfumo K.risto.

Ningependa Kupata michango kutoka Kwa Makada wa CCM hapa JF, Rejao, FaizaFoxy, Rizt, Malaria Sugu juu ya Vita ya Kuvuana Magamba, je Inaendelea au Imekufa Baada ya Mlengwa Kujivua GAMBA?


Nadhani hujaielewa dhanna ya kujivuwa gamba, ungentazama nyoka au ungemsoma kwa makini akijivuwa inakuwa nini na anakuwa vipi?

Rostam Aziz, alipojiuzulu katiwa hotuba iliyoelezea alivyoamuwa kuwachia ngazi na kuwachana na siasa majitaka. Nadhani ni busara kubwa sana aliyoitumia na ndio maana mpaka hii leo bado mnatafuta kila njia za kumuongelea. Rostam Aziz ni kichwa, kila alilofanya iwe ni biashara iwe ni siasa basi amefanikiwa. Rostam wakati wake wa siasa umekwisha na kaumaliza kwa kustaafu, iwe ni kujivuwa gamba au kung'atuka iwe ni mfumo kiristo au mfumo islaam, kwake yeye kwa sasa sio tatizo, tatizo linabaki kwenu mnaomuongelea na mkawatafuta kina FF waje kuwapa maoni yao. Tafuteni kingine liwacheni ji handsome lifanye biashara zake. Mnanchekesha!
 
CCM walitangaza Kuvuana Magamba Kukinusuriu Chama, kwa Kuanzia Wakawapoint wananchama wake Watatu kwamba Ndiyo Magamba Ndani ya Chama na kwamba wakijivua Uanachama pamoja na Nafasi zao zote basi Chama Kingerudi enzi za Kambarahe Nyerere yaani " Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi". Ikatjitokeza Timu ya Wana CCM "WATAKATIFU" Wakiongozwa na Nape Kuzunguka Nchi Nzima na kutuelezea Wanachama wake Ubaya wa Rostam ( Kama Gamba Kuu), Chenge na Lowasa, wakasema kwamba Jamaa wamepewa siku Tisini (90) wapimime wenyewe la Sivyo Chama kingechukua Hatua.

Timu ifuatayo kwa Nyakati Mbalimbali Ilizunguka Nchi Nzima Kuelezea Gamba na Nani Magamba Ndani ya CCM

1. Samwel Sita
2. Nape Nnauye
3. Wilson Mukama
4. John Chiligati
5. Mwigulu Nchemba
6. Anne Kilango Malecela
7. Christopher Ole Sendeka
8. Lazaro Nyarandu
9. Harison Mwakyembe
10. Lucas Lumambo Selelii
11...
12....

Kati ya Magamba Matatu Moja Limeshasalimu Amri, Limejivuka nalo ni Rostam. Lakini cha Kusngaza ni kwamba Baada ya Gamba Rostam Kuvuka ule Moto wa Kuvuana Magamba umetulia. Sasa naogopa Kujiuliza kwamba Ukiangalia Majina ya Makamanda waliokuwa wanaongoza Moto wa Kujivua Gamba na Gomba Lilivuka na Utulivu uliopo dhidi ya Haya Magamba Mengine Huenda Rostam ameshughulikiwa Kwa Vile Na Mfumo K.risto.

Ningependa Kupata michango kutoka Kwa Makada wa CCM hapa JF, Rejao, FaizaFoxy, Rizt, Malaria Sugu juu ya Vita ya Kuvuana Magamba, je Inaendelea au Imekufa Baada ya Mlengwa Kujivua GAMBA?


Lazima utakuwa umetumwa wewe, sio bure. Kwa akili yako hiyo, inafaa ufungwe jiwe shingoni kisha utupwe baharini. Unadhani udini ndiyo suluhu ya kero za Wanzania. Mi naona urudi ukajipange upya.
 
Nadhani hujaielewa dhanna ya kujivuwa gamba, ungentazama nyoka au ungemsoma kwa makini akijivuwa inakuwa nini na anakuwa vipi?

Rostam Aziz, alipojiuzulu katiwa hotuba iliyoelezea alivyoamuwa kuwachia ngazi na kuwachana na siasa majitaka. Nadhani ni busara kubwa sana aliyoitumia na ndio maana mpaka hii leo bado mnatafuta kila njia za kumuongelea. Rostam Aziz ni kichwa, kila alilofanya iwe ni biashara iwe ni siasa basi amefanikiwa. Rostam wakati wake wa siasa umekwisha na kaumaliza kwa kustaafu, iwe ni kujivuwa gamba au kung'atuka iwe ni mfumo kiristo au mfumo islaam, kwake yeye kwa sasa sio tatizo, tatizo linabaki kwenu mnaomuongelea na mkawatafuta kina FF waje kuwapa maoni yao. Tafuteni kingine liwacheni ji handsome lifanye biashara zake. Mnanchekesha!


FF asiguswe Rostam Lazima uchomoke ulikotoka LoL! Unanchekesha
 
Udini udini utatufikisha wap?
By the way hao wa kristo ndo wanaongoza nchi?
Au ni kwa sababu wanarasilimali nyingi? Km mashule,universities,college,na mahospital? Ambavyo hamna?
Acheni kucheza bao na kunywa kahawa
'good things go to those went and make them happen' by Lucky Dube
 
Udini....hivi ukristu au uislam ni jina?hao ulowataja ni wakristu?wanaishi maisha ya kikristu? Kwa maana ya ukristu?sidhani kama ukristu ni kusema uongo (hususani jukwaani)mchana kweupe,kwenda bagamoyo,dhuluma,masengenyo,uzinzi, kutotimiza wajibu nk.na viongozi wadini wanapaswa kuliangalia hivi hasa kwa waumini wao(wanasiasa) wanaokimbilia kwao kwa utetezi wakati wanamaovu mengine.
 
Swali muhimu-jee ingekua ngeleja ni muislam mpaka leo angekua hajajiuzulu?jibu ni rahisi ingekuwa kaandamwa kila pembe kama ilivyokua fisadi simba.el aliwahi mwenyewe ndioo maana mzee 6 alishtuka!
 
hii ni ajabu,..watu wanashindwa katika mambo yao ya maendeleo na kusingizia dini flani ndo imesababisha....hakuna vichwa vibovu dunia kama hivi vilivyopo tz....
 
Wataondoka mkuu wanajisumbua tu kina EL na mwenzake kwenda kwa maaskofu kuomba rungu lisiwatwanga lakini ni too late..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom