Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Habari wanajamii
Nimeona nishee dukuduku langu pamoja nanyi wanajamii, ingawa ninafahamu kuwa si wote wanaoathirika na hali hii kutokana na utofauti wa vipato vyetu. ila ninaamini kwamba kuna baadhi yetu tunaumia na hili.
Hivi huu mfumko wa bei za bidhaa serikali inatufikiria nini wananchi??? kumekuwa na kupanda kwa gharama za bidhaa kila kukicha, kila mtu ana aamua apandishe kulingana na maamuzi yake, hivi serikali haitufikirii sisi tunaopokea mishahara ya TGs D???
Mafuta taa/kupikia/gari bei juu, hapa kwetu dizel mpaka 2200, sukari sasa ni 2000 @kg, mchele 1200, harage bei juu,bia juu daladala wamepandisha nauli.. Jamani hawa EWURA na wengineo wapo wapi? kwanini bei zanapanda tu watu wakiamka asubuhi? ..
Hali hii bunge halijajadili budget na makodi yake, je budget ikishapitishwa sisi wa vipato vya chini tutaweza kuishi kweli?... wabunge baada ya kujadili hali ya uchumi na mfumuko wa bei kazi kubishania ubora wa vyama....
Natamani kuukana utanzania mie!!!!
Nimeona nishee dukuduku langu pamoja nanyi wanajamii, ingawa ninafahamu kuwa si wote wanaoathirika na hali hii kutokana na utofauti wa vipato vyetu. ila ninaamini kwamba kuna baadhi yetu tunaumia na hili.
Hivi huu mfumko wa bei za bidhaa serikali inatufikiria nini wananchi??? kumekuwa na kupanda kwa gharama za bidhaa kila kukicha, kila mtu ana aamua apandishe kulingana na maamuzi yake, hivi serikali haitufikirii sisi tunaopokea mishahara ya TGs D???
Mafuta taa/kupikia/gari bei juu, hapa kwetu dizel mpaka 2200, sukari sasa ni 2000 @kg, mchele 1200, harage bei juu,bia juu daladala wamepandisha nauli.. Jamani hawa EWURA na wengineo wapo wapi? kwanini bei zanapanda tu watu wakiamka asubuhi? ..
Hali hii bunge halijajadili budget na makodi yake, je budget ikishapitishwa sisi wa vipato vya chini tutaweza kuishi kweli?... wabunge baada ya kujadili hali ya uchumi na mfumuko wa bei kazi kubishania ubora wa vyama....
Natamani kuukana utanzania mie!!!!