Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Ni maoni yangu kuna haja ya CHADEMA kuanzisha mfuko wa kusaidia watoto wanaoachwa na wahanga wa mauuaji yanayofanywa na polisi please please msiwaache hao watoto hata muwasomeshe japo hata kama baba zao hawakuwa wanachama wa CHADEMA
maoni tuu CCM msijenge chuki
maoni tuu CCM msijenge chuki