Nimepata nyepesi nyepesi kutoka ndani ule Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya upo katika hati hati ya kufilisika nasikia serikali haipeleki michango yake na imekopa na kukomba pesa ya Mfuko huo:
Nimepata nyepesi nyepesi kutoka ndani ule Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya upo katika hati hati ya kufilisika nasikia serikali haipeleki michango yake na imekopa na kukomba pesa ya Mfuko huo:
Nikweli. Siyo NHIF tu, bali mifuko mingi ambayo serikali inachangia au inapaswa ipeleke michango ya watumishi wake. Miradi yenye local counterpart contributions pia haijapata kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.