Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,582
Mkutano wa kukusanya maoni ya wadau kuhusu muswada wa Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo (Comunity Development Catalyst Fund-CDCF) uliofanyika jana mchana kwenye ukumbi wa Msekwa ulitawaliwa na vuta nikuvute kati ya Wabunge na wanaharakati wakiongozwa na Policy Forum.
Mkutano huo uliokuwa chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Mbunge wa Mpwapwa, George Malima Lubeleje, ulifunguliwa kwa hotuba ya Waziri wa Serikali za Mitaa, Bibi Celina Kombani aliyeutetea mfuko huo huku akiungwa mkono na wabunge wote waliochangia wakiwemo wa upinzani ambapo Dr.Slaa alikomelea msumari wa moto kwenye jeneza la wanaharakati kuupinga muswada huo.
Nimefanikiwa kuupata muswada wenyewe na kuuscan sambamba na taarifa ya Policy Forum.
Swali ni moja tuu, baada ya kuuona muswada wenyewem hawa wanaoendelea kuupinga ni kweli wanasukumwa na utashi wao na dhamira za dhati, au ni kupuliza tarumbeta kusuport msimamo wa wafadhili wanaowapo fedha na posho za kuendesha mashirika yao?.
Mkutano huo uliokuwa chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Mbunge wa Mpwapwa, George Malima Lubeleje, ulifunguliwa kwa hotuba ya Waziri wa Serikali za Mitaa, Bibi Celina Kombani aliyeutetea mfuko huo huku akiungwa mkono na wabunge wote waliochangia wakiwemo wa upinzani ambapo Dr.Slaa alikomelea msumari wa moto kwenye jeneza la wanaharakati kuupinga muswada huo.
Nimefanikiwa kuupata muswada wenyewe na kuuscan sambamba na taarifa ya Policy Forum.
Swali ni moja tuu, baada ya kuuona muswada wenyewem hawa wanaoendelea kuupinga ni kweli wanasukumwa na utashi wao na dhamira za dhati, au ni kupuliza tarumbeta kusuport msimamo wa wafadhili wanaowapo fedha na posho za kuendesha mashirika yao?.
Attachments
Last edited by a moderator: