meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
leo katika sherehe za mei mosi nimeshuhudia mfanyakazi wa Tanesko ambaye ni mwanamama akipewa tuzo na rais baada ya kuteuliwa na TUCTA kuwa mmoja wa wachapa kazi bora nchini.
Hivi ni sahihi kwa mfanyakazi kutoka taasisi kama hii kupata tuzo?
Hivi ni sahihi kwa mfanyakazi kutoka taasisi kama hii kupata tuzo?