Mfanyakazi wa serikali kulipa NSSF

KUNANI PALE TGA

Senior Member
Feb 6, 2009
138
7
Wazee habari za masiku. Nimesoma habari kwenye gazeti la citizen,kwamba kila mfanyakazi wa serikali lazima atalipa NSSF 5% ya mshara wake from july 2010.eti ni kwa ajili ya kuchangia pension,kwa sabau serikali haina hela za kulipa pension.sasa miye nauliza jamani kweli tutua ishi?yani mwisho wa mwezi mfanayakazi wa serikali mshara zaidi ya robo unaondoka kwa makato ya kijinga jinga kama vile tughe,sijui nppf,bima ya afya ambayo haina hata faida kidogo,na sasa nssf.jamani hii nchi basi.tutaishi??????
 
Oh sawa mkuu mpita njia,nimekupata.yaani siku hizi akili zetu zimeruka kwa hii ufisadi mkuu.yaani tz vitu ni kwa pupa tu,hata hivyo mzee kodi ambayo mfanyakazi anakatwa kwa mwezi ni sawa na tax ya mwaka ambayo analipa mfanya biashara.mkuu kuna michango mingine kama tughe tunayokatwa ni kubwa sana,anagalau ingekuwa reasonable tusingelalamika.but the matter of fact,hii system ya kodi na makato mengine lazima yawe reviewed,ni kubwa sana.ukiona basic ni kubwa,lakini unachopokea ni vijisenti tu.
 
Yaani nilikuta eti RAAWU wanakata 30,000 kila mwezi tena kwa nguvu katika salari yangu!

Yaani ningeweza ningempiga mtu ngumi!

Je nifanyeje? ni vema kweli RAAMU kuchukua 360,000 kwa mfanyakazi mmoja kwa mwaka?? hizi pesa zinaenda wapi?

Je huu sii ufisadi?
 
Mzalendo ukisikia ufisadi ndio Huu, hivi vyama havina vya kufanyakazi zaid ya kusubiri May Mosi....

Mods...hii mada ibadilishwe au topic ifutwe maana muhusika Bangi za Ufisadi zimemkwama...ndio maana kalipuka!!!
 
Back
Top Bottom