Mfanyakazi wa low voltage afumwa na umeme wa million 25

Babra usilete porojo na kuonesha kuwa mu-watendaji wazuri wa kazi,
miaka saba mmekamata mmoja sasa hao hamsini si mtachukua miaka miaka 350!
 
hope mhando ayuko na kwenyee huu mchongo maana kila anaekamatwa ana dili la million si chini ya 10 jamani duh ,dunia watu wanajjipanga kwenye luku masaa kuna watu awajui kama kuna foleni za luku
 
Kwa nchi za wenzetu huyu anatunukiwa nishani ya ubunifu!
wa kuwa nyonga ni uongozi wa tanesco kwa kutokugundua
kwa muda wote huo ina maana hawawajibiki.
Maoni ya wengi naona mnataka anyongwe/achukuliwe hatua kali
sio sahihi wako wezi wa billions/trillions nchi hii na wanadunda
wako wengi waliostaafu kwa ubadhirifu na hawakunyongwa!
Mwisho na wewe mchangiaji unaishi kihalali na ka mshahara hako ka mwisho wa mwezi!?????????
 
Sure,
Ingekua umeme wa Tanesco ni reliable tusingehangaika na huyu jamaa.

Tanesco ndio wametufikisha hapa tulipo.

Kwanza uchumi gani unaohujumiwa hapa, watu wamepiga EPA, Radar, n.k na hawajaitwa wahujum uchumi sembuse huyu mvumbuzi???

Si utani, kama huyu jamaa alikuwa ana uwezo wa kufanya kazi kama Tanesco na kwa haraka zaidi wangetakiwa kuiga his mode of operation, na ikiwezekana kuwe na mkakati wa kutengeneza kwa kufuata sheria kampuni kama hizo kuisaidia Tanesco kuondokana na ukiritimba.
 
Back
Top Bottom