Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
Kila uanpotaka kuandika punguza hasira ndg yangu. uatakuwa si msaada tena.
Hakuna mtu dunian mwenye ujasiri wa kufa nja wakti chakula anakiona.
Ukiona mtu aina hiyo basi si binadamu wa kawaida. Nchi yetu imejaa ufisadi kote. auatenda wapi hebu fikiria jinsi familia zetu zilivyo maskini. Kuna watu wangapi mama zao ni wajane na wadogo zao wanawategemea hao kaka ama dada zao ili waende shule. Ukiacha kazi kesho yake unaambia na mama yako ile nyumba alikyokuwa akiishi imeenda na mafuriko. Wakati huo sehemu pekee ya wewe kupata ajira ni huko kwa makburu. Utafanya nini.
Ni watu wangapi wanfanya kazi ili familia zao zipaate hata mlo wa siku moja.
hAYO MANENO YAKO YANANIFANYA NIAMINI KUWA WEWE HUISHI TZ NADHANI UKO ULAYA AMA USA NDO MAANA UNATHUBUTU KUONGEA MANENO HAYO. Naomba usiwalaumu watanzania ila jaribu kutumia mwanga uliyonao kuwapa mbinu ni nini cha kufanya na sio kutukana. Unawakosea watanzania wanaokufa njaa na mafuriko ya kila siku.
leo ndugu yangu umenikumbusha kitu kimoja rais mstaafu fisadi BEN MKAPA aliwahi kusema "WATANZANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRI"..na .. "MMEJAA WIVU WA KIKE"....ni maneno mazito sanaaa...
yani mmeshindwa hata kufikiri kuwa mkigoma hao jamaa watabadilika na kuwasikilizeni...au hata mkifanya sabotage watawaeleweni...mnakalia kulalamika hovyo...kaka mie sikai ulay, wala huko USA unakofikiria..na wala SITAMANI hata kwenda kupumzika walau siku1...labda niende kwa kazi maalumu na ikiisha nirudi fastaaa...kwao hakuna kitu ndio maana wamejaa huku kwetu...inamaana huwa hata hamsikilizi habari za niger delta huko nigeria au sehemu zingine duniani watu wa migodini wanafanya nini kudai haki zao za msingi???...
HUO NDIO UVIVU WENU WA KUFIKIRI...ninaye bwanamdogo wangu yuko migodini kila siku kulalamika mpaka imefikia wakati sitaki hata kusikia upuuzi wenu huko migodini..WATUMWA WAKUBWA NDANI YA NCHI YENU...na bado hamjitambui...nisamehe sana kwa kuwaambieni ukweli unaowauma..ila ifike wakati mtoto apewe klorokwini ili apone malaria hata kama inauchungu wa kutosha kumfanya azimie..
IT BEGINS WITH YOU...nyie ndio muwe chanzo cha mabadiliko...or else just SHUT UR....kuna mambo mengi ya kufikiria duniani sio watanzania laki 2-3 kwenye migodi wananyanyaswa na wazungu 100...