LAZIMA JAMBO HILI WATANZANIA WENYE AKILI WALIELEWE
Hawa HSC Biashara wanazofanya Wameajiri Watanzania Wenzetu,Wanalipa Kodi ya Serikali Corporate Taxes zote ,Sisi ni Fitnaaa tu ndio Zimetujaa,Hawa sio Malaika kuwa Watakosa Dhaifu moja Mbili,Hata Sisi tunaopost Tuache UNAFIKI hakuna Mtakatifu tumekaa Kuchunguza Udhaifu Mmoja au Mawili ya Watu na Kurudia rudia kama Kasuku kila siku yale yale Thread Zl zl . Kumwagiwa Tindikali hata Mashekhe wamemwagiwa wana Makosa Gani,Mapadri wameuawa kupigwa Risasi wana Kosa Gani??? Kila jambo Siasa tuuuu Inachosha,Wazungu Waliwahi Sema "SIMPLE MINDS DISCUSS PEOPLE ,AVERAGE MINDS DISCUSS ABOUT EVENTS,GREAT MINDS DISCUSS ABOUT IDEAS" tufanye Kazi tuache Umbea.---
Hawa HSC Biashara wanazofanya Wameajiri Watanzania Wenzetu,Wanalipa Kodi ya Serikali Corporate Taxes zote ,Sisi ni Fitnaaa tu ndio Zimetujaa,Hawa sio Malaika kuwa Watakosa Dhaifu moja Mbili,Hata Sisi tunaopost Tuache UNAFIKI hakuna Mtakatifu tumekaa Kuchunguza Udhaifu Mmoja au Mawili ya Watu na Kurudia rudia kama Kasuku kila siku yale yale Thread Zl zl . Kumwagiwa Tindikali hata Mashekhe wamemwagiwa wana Makosa Gani,Mapadri wameuawa kupigwa Risasi wana Kosa Gani??? Kila jambo Siasa tuuuu Inachosha,Wazungu Waliwahi Sema "SIMPLE MINDS DISCUSS PEOPLE ,AVERAGE MINDS DISCUSS ABOUT EVENTS,GREAT MINDS DISCUSS ABOUT IDEAS" tufanye Kazi tuache Umbea.---