Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

wa tz kwa uhasidi wa roho kila mwenye mafanikio bongo ni fisadi .je ww hujafanya ufisadi wwt .rushwa hujala
 
Ni kweli kabisa huyo aloyempiga risasi alikuwa mfanyakazi wake kabila lake msambaa
alikuwa anaiba hela wasambaa wenzake wakamchoma kwa boss wao akampa ya mguu live
ilitokea mtaa wa mkunguni na livingstone
jaama bonge la mnyama kama zomba wa jf hafai hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa huyo aloyempiga risasi alikuwa mfanyakazi wake kabila lake msambaa
alikuwa anaiba hela wasambaa wenzake wakamchoma kwa boss wao akampa ya mguu live
ilitokea mtaa wa mkunguni na livingstone
jaama bonge la mnyama kama zomba wa jf hafai hata kidogo

Si bahati kapigwa risasi ya mguu, akaibe chupi mitaani aone kama watu hawajamchoma moto. Au hujui hilo?
 
Umeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.

Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.

Kama umemuelewa mtoa mada, akipileka polisi na yeye ndo mwisho wake, kuna mfanya biashara maarufu A town anaitwa Said Ally anasota magereza kwa ngumvu ya huyu mtu, na kama unakumbuka ilitokea kashfa flani hivi karibuni kwenye vyombo vya habari nadhani unajua mkwara waliopewa wakajikuta wanaomba radhi wenyewe.
 
Hii ndo nchi ya haki za wenye pesa, hao ndiyo wafadhili wakubwa wa chama cha zamani hivyo wanafanya watakalo wataua,watatupiga risasi,watakwepa kodi kirahisi n.k Serikali ikikamatwa na wenye pesa,wananchi masikini hawana haki kabisa kabisa (Mwl.Nyerere: 1995)
 
mhh..naona chenga..

hawa akina Said huwa niwaajiriwa tu.haiwezekani mtu akawa mchafu hivyo bongo hii halafu asifanywe chochote.hicho kiburi chake kina source.umeona mti umestawi vizuuri,chimba shimo chini utakutana na mizizi,tena mikubwa!usiwaone wanatamba,wana wenyewe haoo..,nisonge nguna yangu nile miee!!
 
  • Thanks
Reactions: kui
Huyu jamaa si ndiye aliyetoa dinner set kwa waathirika wa mafuriko wote waliohamishwa Mabwepande kumbe ni noma hivi naona amefungua duka jingine kwenye geti la Muhimbili hospital.Du kweli noma
 
Unajua sisi ndiyo watu tunaoshabikia vyakupewa bila kuuliza kwanini tunapewa!!! Haya yote nimekua nikiyauliza na hasa kwa nini hawa jamaa hujitahidi sana Rais akiwa sabasaba aingie kwenye banda lao?

Mwaka jana Rais alipita kando hakuingia kwao nikaona wanarudi ndani wamenuna. Hata hivyo sisi tunao uwezo wa kuyaepusha haya kwa kutoa maoni kwenye katiba mpya kuwa Rais awekewe kikomo cha marafiki na hasa wafanya biashara pia Tushauri rais awe na jicho la pili kwa wanaojikomba kwake.

Siku moja nilipiga picha na Rais pale ikulu nikaitumia ile picha kuwatisha askari kuwa ninafahamiana na Mheshimiwa kumbe wapi sasa je wale wanaonekana naye si wanaweza kufanya lolote na wasifanywe lolote kwa kudhaniwa kuwa juu ya sheria ilihali hata huoyo rais yuko chini ya sheria?
 
mbona hujasema faida zake ameajiri watanzania wangapi amewatoa kwenye wizi mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Huyo Mlebanoni ni Mmiliki wa Albasha Lebanese Restaurant maeneo Extelecom? I use to eat there, ila hatoi risiti halal za TRA, halimi kodi
 
uchunguzi wa kina ufanyike
kwa mtu mzalendo hawezi kusema haya ni majungu lazima atauliza ukweli wa hii habari.
tuamke watanania,
 
Watanzania tusiwe na fikra 'finyu' katika kukabiliana na mizimu ya matatizo yetu kitaifa......
Kama kuna 'tuhuma' kama hizi, uchunguzi ufanywe ili kutenganisha nyeupe na nyeusi
tusidanganyike eti mtu 'kaajiri' watanzania kwa hiyo akihujumu uchumi achelekelewe...hapana! Kama ambavyo mababu na bibi zetu walipambana kumtoa mkoloni aliyewanyonya watu weusi...vivyo hivyo nguvu na ujasiri huo utumike sasa kufichua maovu katika jamii
sheria zifuatwe bila kupindishwa...
'rushwa kwangu ni mwiko'....tulirudishe azimio la arusha ili wahujumu uchumi wote wakiwemo wakwepa kodi wafilisiwe na mali zao kutaifishwa....azimio la arusha ndilo pekee litatuwezesha kuirudisha nchi ya tanzania kwenye mstari. Nikitaja azimio la arusha simaanishi liwe 'copy na paste' (kama ya joti wa orijino komedi'...la. Azimio liboreshwe kukidhimmazingira ya sasa....lakini wazo kuu la kuwatokomeza wahujumu uchumu litatamalaki.

Azimio linasema 'kila mtu ni ndugu yangu'...inasisitiza utu.... Kama tuna utu mioyoni mwetu hatuwezi kufanya yote tuyafanyayo kwa sasa kama vile: Kuonea, kudhulumu, kuhujumu, ufisadi, rushwa, na uovu wa kila aina...

Tutake katiba mpya ifufue azimio la arusha....... Matatizo ya uhujumu uchumi yatakoma....wahujumu watakimbia na kuziacha mali zao...au wasipokimbia watazikataa kuwa sio zao....ikitokea hivyo mali za watanzania walizoibiwa 9zilizoibwa) zitarudishwa mikononi mwao.....

Watanzania wote tukemee uhujumu uchumi....kukwepa kulipa kodi...ufisadi....kila uchafu.
Waovu ni wachache na wanatumia pesa kuendeleza uovu
watu wasio na pesa ni wengi na ndio wanaoteseka.....nguvu ya umma ndio dawa pekee..."sauti ya wengi ni sauti ya mungu'...tuungane watanzania wote kukemea uovu katika jamii...
Shaban roban aliseme "wema utashinda uovu....na haki itatawala". Maneno haya yanawezekana kwa umoja...mtu mmoja hawezi kuleta mabadiliko...kwani akisema yeye ndiye anaonekana ni 'hatari' kwa maslahi yao 'wachache'...lakini tukiungana tunakuwa wengi/kundi/umma.......waovu watashindwa...
 
Kweli watanzania tuamke
tuhuma huchunguzwa na kufikishwa kwenye vyombo vya kisheria
wanaotuhumiwa hujitetea...ikionekana ni uzushi basi wamepona; ikionekana si uzushi ni kweli...waadhibiwe ili liwe fundisho kwa wengine. ...kila mtu ataogopa kuchezea mali ya umma; kuiba mali ya umma; kuhujuhu uchumi; kukwepa kodi.....waovu na mafisadi ni wachache katika jamii....walio wengi ni masikini....(masikini waungane kutafuta haki yao dhidi ya wahujumu uchumi)

azimio la arusha ni ukombozi pekee dhidi ya wahujumu uchumi
 
Back
Top Bottom