Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
The bottom line MENGI na ROSTAM walikuwa maswahiba wakubwa sana na sioni sababu gani urafiki wao usirudi kama watakuwa na common interest
unamaanisha common interest yao ni kuwaibia wananchi......
kama hiyo ndio common interest ni bora wawe maadui....