Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Wale waliodhania ya kwamba baadhi ya viongozi wetu wakuu serikalini wanazushiwa biashara za unga sasa hadi hapo nakuambia ndio mkanda mzima unaanza na watu kuja kubanwa zaidi pamoja na watoto wao kwenye bishara za mihadarati. Vuteni pusi kidogo hadi hapo.