Inasemekana Juma Kilaza na Mwinshehe wote wakiwa wanamziki, walibishana kila mmoja akitamba kuwa na uwezo kumshinda mwenzake hasa kwenye upigaji wa vyombo kama gita. Waliandaliwa tamasha la kuwashindanisha, Juma Kilaza alishindwa vibaya sana na Mwishehe. Kuanzia hapo watu wote wenye uwezo kidogo walianza kuitwa KILAZA!