Kuna uvumi kuwa mfalme wa Ashanti GHANA yuko nchini kujaribu kuwapatanisha Mkapa na Kikwete wamalize tofauti zao kiutu uzima chini ya usuluhishi wake.Sijui ni kweli
Mfalme wa Ashanti ni nani?...coz Ghana inaongozwa na Raisi na si mfalme(though Ashanti ni mojawapo ya jimbo la Ghana). Huo ujio wake wa kiserikali au ni personal?
si unajua Ashanti ni kitovu cha migodi si ajabu kukuta mfalme wao kakalia kigoda cha dhahabu pure, huyu kaja na ishu za kuiba ama mambo yale ya kienyeji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.