LUCIFER
Senior Member
- Aug 14, 2012
- 183
- 88
Habari zenu Wana JF....!
Leo sina mengi ila kuna jambo nimelisoma kwenye magazeti kadhaa ya Leo kwamba Kibopa mmoja wa Yanga ameandaa milioni 100 kama timu yao itamfunga Mnyama....Nikafikiria zilikuwa wapi hizi pesa wakati timu inalala wawili wawili kwenye mgahawa wa mbavu za mbwa mbeya?kutakuwa na kipi special kama YEBOYEBO mtamfunga MNYAMA halafu timu ikakosa ubingwa na kuendelea kushiriki mashindano ya ndani?Mjipange,acheni kukurupuka hata ukuta wa ROME haujajengwa kwa siku moja....Tunataka mpira hizo style za kumwaga pesa kwa ajili ya kuhonga viongozi na marefa ili umfunge Flani zifike mwisho.Saudia Arabia na pesa zao walipigwa 8-0 Kombe la dunia....
Narudia tena ni muhimu kutoa pesa pale zinapohitajika,na si kutoa pesa pale unapohitaji kutoa...huo ni UFALME JUHA!
NAWASILISHA
Leo sina mengi ila kuna jambo nimelisoma kwenye magazeti kadhaa ya Leo kwamba Kibopa mmoja wa Yanga ameandaa milioni 100 kama timu yao itamfunga Mnyama....Nikafikiria zilikuwa wapi hizi pesa wakati timu inalala wawili wawili kwenye mgahawa wa mbavu za mbwa mbeya?kutakuwa na kipi special kama YEBOYEBO mtamfunga MNYAMA halafu timu ikakosa ubingwa na kuendelea kushiriki mashindano ya ndani?Mjipange,acheni kukurupuka hata ukuta wa ROME haujajengwa kwa siku moja....Tunataka mpira hizo style za kumwaga pesa kwa ajili ya kuhonga viongozi na marefa ili umfunge Flani zifike mwisho.Saudia Arabia na pesa zao walipigwa 8-0 Kombe la dunia....
Narudia tena ni muhimu kutoa pesa pale zinapohitajika,na si kutoa pesa pale unapohitaji kutoa...huo ni UFALME JUHA!
NAWASILISHA