Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Wengi wetu hukumbana na shida za kikazi na kinyumbani, hii huleta mfadhaiko wa akili ambalo ni jambo la kiafya.
Jifahamishe jinsi ya kugundua ikiwa una shida na jinsi ya kutibu, kulipia gharama za matibabu ni ghali mno lakini Beehive ipo hapa kukusaidia.
Kuna mfadhaiko mzuri na mbaya.Mfadhaiko huleta shida za kiafya na kuharibu uhusiano na jamiina marafiki. Kuna njia za kukabiliana na mfadhaiko huu.
Mfadhaiko
Mfadhaiko ni nini? Ni hali inayotokana na shida, matatizo au dhiki. Jamii, pesa, kazi, na shule ndio chanzo kikubwa cha mfadhaiko. Watu wanapokumbana na hali ya mfadhaiko huleta shida za kukabiliana na hasira.
Ishara ni zipi?
Mtembelee daktari kila mara. Ishara zifuatazo zaweza sababishwa na kitu kingine. Magonjwa yaweza changia kwa mfadhaiko wako:
Jifahamishe jinsi ya kugundua ikiwa una shida na jinsi ya kutibu, kulipia gharama za matibabu ni ghali mno lakini Beehive ipo hapa kukusaidia.
Kuna mfadhaiko mzuri na mbaya.Mfadhaiko huleta shida za kiafya na kuharibu uhusiano na jamiina marafiki. Kuna njia za kukabiliana na mfadhaiko huu.
Mfadhaiko
Mfadhaiko ni nini? Ni hali inayotokana na shida, matatizo au dhiki. Jamii, pesa, kazi, na shule ndio chanzo kikubwa cha mfadhaiko. Watu wanapokumbana na hali ya mfadhaiko huleta shida za kukabiliana na hasira.
Ishara ni zipi?
Mtembelee daktari kila mara. Ishara zifuatazo zaweza sababishwa na kitu kingine. Magonjwa yaweza changia kwa mfadhaiko wako:
- Kuumwa na kichwa na mgongo
- Kukosa usingizi
- Kuhisi njaa na kukosa matumaini
- Kutokuwa mmakinifu
- Kulia
- Kujificha kutoka kwa watu
- Ulcers na kusokotwa na tumbo
- Vipele
- Shinikizo la damu ugonjwa wa moyo na pigo.
- Fanya mazoezi ya kila siku dakika 20-30, tembea, kimbia, au tembia kidogo wakati wa mapumziko.
- Sikiza muziki muororo na ufunge macho kwa dakika 10-20 vuta pumzi.
- Zungumza na mtu yeyote auandika chini hisia zako
- Kula vya kula bora pia husaidia kumliwaza mtu
- Jifunze kusema LA. Usifanye mambo mengi kuliko uwezo wako.