Uongozi wa Chadema leo ndio tumeambiwa kuwa Lema atakutana na Meya wa London sijui wanakutana kwa sababu gani jana tumeona picha Lema akikagua Chopa ambayo inasemekana ni msaada kutoka kwa Meya wa London, Boris Johnson wa chama cha Conservative, kama tunavyojua maisaada lazima ifuate masharti.
Uongozi wa Chadema leo ndio tumeambiwa kuwa Lema atakutana na Meya wa London sijui wanakutana kwa sababu gani jana tumeona picha Lema akikagua Chopa ambayo inasemekana ni msaada kutoka kwa Meya wa London, Boris Johnson wa chama cha Conservative, kama tunavyojua maisaada lazima ifuate masharti.
Dhaifu anakwea pipa kila mara kwenda London kwa Cameron kutembeza bakuli lakini Ritz hujawahi kuwa na mashaka na ukaribu wa hao wawili.
Serikali ya dhaifu inapokea misaada kila mara kutoka serikali ya Uingereza inayoongozwa David Cameron wa chama cha conservative lakini huoni mashaka na misaada mnayopewa serikali dhaifu ya ccm.
Ikitokea tu kwamba Chadema wameweza kuwafikia hao wazungu wanaowaweka mjini basi hapo ndipo mnaanza nongwa na maneno mbofumbofu. Kwa namna ccm mnavyoweweseka kila mkiona Chadema inawasiliana na chama cha conservative ni dhahiri kwamba maisha yenu ni mafupi sana hapa Tanzania.
Hapo kwenye Red,
Serikali ya Kikwete ya Chama cha mapinduzi inategemea Cameron Waziri mkuu wa Uingereza ( Siyo kameya ka London) na Obama na wengineo kwa zaidi ya 30%.
Je, hiyo misaada ina masharti gani mkuu? Kama hakuna kwanini ya Chadema ije na masharti.
Nani kasema kuwa meya ametoa msaada? Tatitizo la ccm ni omba omba kiasi kwamba kiongozi yo yote akikutana tu na mzungu, unatega bakuli. Lema kukaa na meya si lazima kutega bakuli.
Lema na Meya wa London wanakutana kwa sababu gani ebu tufahamishe wewe upo ndani kwenye chama na ile Chopa ambayo Lema kapiga nayo picha kapewa na nani.
Lema na Meya wa London wanakutana kwa sababu gani ebu tufahamishe wewe upo ndani kwenye chama na ile Chopa ambayo Lema kapiga nayo picha kapewa na nani.