Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
Mmarekani mtarajiwa. Naombea hukumaanisha nilivyokuelewa. Kama ni hivyo kwa mwendo huu utaishia lupango huko unakoishi. Naomba naomba unifahamishe hasa ulikuwa na maana gani au umwombe msamaha huyu dada yetu. Kama ni mimi mwenye mawazo mabaya naomba unisamehe.
Umarekani sitaki nahamia Bahama sasa.