Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Something wrong kwa kweli. Na hiyo something ndiyo hii tunakuambia leo ujue ni kwa nini pamoja na kuhujumu uchaguzi huyu naye ni fake kimaadili. Alikuwa Diwani pia na madudu aliyofanya huko yataletwa muda sii mrefu.
Kuna tetesi kwamba huyo Bwana haonekani nymbani kwake Oloirien. Wenye taarifa watujulishe.