Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,031
Mi nampongeza meya wa arusha kwanza kabla ya kuhisi kichwa yake aina akili
akidai ameamua kumfwata mwenyekiti wa chadema bwa mh freeman mbowe
hivi ajui mbowe ataki hata hiyo pickup??kwanza anauwezo gani kujifananisha na mh mbowe
mhuni alieingia kwa kumwaga damu ...anyway naomba siku nyingine msijifananishe na malaika
hata sikumoja shetani awezi kuwamalaika
pengine angeulizaa hizo gari ni sh ngapi na hilo shangingi wangempa shillingi ngapi
ajui kwenye risiti zinaandikwa million 100 huku wanaletewa magari ya million 50-60
je hilo million 40 atanunua ambulance ya wagonjwa..na kama amedhamiria kwanini
asiombe pesa zote zinunulia gari ya wagonjwa hizi njaa taabuuuuuuuuuuuu
akidai ameamua kumfwata mwenyekiti wa chadema bwa mh freeman mbowe
hivi ajui mbowe ataki hata hiyo pickup??kwanza anauwezo gani kujifananisha na mh mbowe
mhuni alieingia kwa kumwaga damu ...anyway naomba siku nyingine msijifananishe na malaika
hata sikumoja shetani awezi kuwamalaika
pengine angeulizaa hizo gari ni sh ngapi na hilo shangingi wangempa shillingi ngapi
ajui kwenye risiti zinaandikwa million 100 huku wanaletewa magari ya million 50-60
je hilo million 40 atanunua ambulance ya wagonjwa..na kama amedhamiria kwanini
asiombe pesa zote zinunulia gari ya wagonjwa hizi njaa taabuuuuuuuuuuuu