Ningependa kuuliza wana JF na wajuzi wa mambo ya sheria, inakuwaje kwa development ya mambo yanayotokea Arusha, hii ni obvious yule meya "mteule" wa arusha hatakuwa na diwani mmoja kutoka chama chake ambae alihamia CDM majuzi, mbaya zaidi hata yule diwani aliyewaletea "ushindi" kutoka TLP amebwaga manyanga, hii inafanya idadi ya madiwani wa chadema wana ku wa out number madiwani wa ccm , ningependa kujua kwa hali ya kwaida huyu Meya ataweza kuendelea na wadhifa wake huo, je sheria inasemaje, pia nataka kujua uchaguzi mdogo wa diwani aliyehama chama na yule aliebwanga manyaga unatakiwa kufanyika baada ya muda gani:noidea: