samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Meya wa manispaa ya Arusha aliyechaguliwa na madiwani wa CHADEMA Estomih Mallah amejiuzulu baada ya kutafakari kwa kina na kusema kwamba kung'ang'ania kukalia nafasi hiyo ni kuendelea kukiuka sheria ambazo tayari zimekiukwa na CCM.
Source: taarifa ya habari radio one saa mbili usiku.
Source: taarifa ya habari radio one saa mbili usiku.