Michael Paul
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 403
- 319
Ilikuwa ni kanisani baada ya mchungaji kumkaribisha kama mgeni rasimi kwamba wananchi wamshike mkono , ndipo watu wote wakatoka kanisani na kumuacha mwenyewe. Ilikuwa ni fundrising event katika kanisa la kkkt elerai.