Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Hakika kwa waliomuona Meya Salum Londa alipohojiwa kuhusu wizi wa viwanja moja kwa moja mwenye macho unajua huyu bwana anafwata..
Hatimaye polisi wameendelea kumhoji Meya Londa kwa kushiriki kuidhinisha wizi wa viwanja vya wazi...
Watanzania, Meya huyu amekuwa akilaumiwa sana na wizi mbali mbali wa viwanja na sasa shetani kaamua kugeuka mungu na chamoto watakiona..njooni hapa Kinondoni tu pm tutawapa mambo mengi machafu na mikataba alisosaini huuyu mzee...lakini kwa nini huuyu tuuuuuuuuuuuuuu
Polisi tunaomba mkmhoji mzee kitwana kondo huyu aliaribu kabisa na mpaka sasa watoto wengi awana hata sehemu za kuchezea...tunaomba sakata hili lisimalizwe kisiasa tumechoka kabisa..hapa Kinondoni kuna wakina Londa wengi tu Lukuvi tu pm tutawapa msaada wa kihistoria ...kuwafikisha huko jehanamu
Pongezi mh Lukuvi isiwe kinondoni tu nenda na ilala..temeke ardhi inanuka hata waziri anajua anawalea hawa...kazi kwako mkuu
Hatimaye polisi wameendelea kumhoji Meya Londa kwa kushiriki kuidhinisha wizi wa viwanja vya wazi...
Watanzania, Meya huyu amekuwa akilaumiwa sana na wizi mbali mbali wa viwanja na sasa shetani kaamua kugeuka mungu na chamoto watakiona..njooni hapa Kinondoni tu pm tutawapa mambo mengi machafu na mikataba alisosaini huuyu mzee...lakini kwa nini huuyu tuuuuuuuuuuuuuu
Polisi tunaomba mkmhoji mzee kitwana kondo huyu aliaribu kabisa na mpaka sasa watoto wengi awana hata sehemu za kuchezea...tunaomba sakata hili lisimalizwe kisiasa tumechoka kabisa..hapa Kinondoni kuna wakina Londa wengi tu Lukuvi tu pm tutawapa msaada wa kihistoria ...kuwafikisha huko jehanamu
Pongezi mh Lukuvi isiwe kinondoni tu nenda na ilala..temeke ardhi inanuka hata waziri anajua anawalea hawa...kazi kwako mkuu