Bihondo amekaa muda gani kwenye Udiwani na Umeya wa Jiji lile? Kwa nini KATIBA yetu imempa Rais wetu vipindi viwili vya miaka mitanomitano imeacha UDIWANI na UBUNGE watu waogelee wanavyotaka? Matokeo na madhara yake ndio kama haya. Mtu mwingine anayeelekea kufanana na Bihondo atakuwa huyu Londa wa Kinondoni. Time will tell. Subirini tu.