Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Aaa wapi!!!! Fahamu zikimrudia ndio anakumbuka kuna kulamlevi akishalewa ndio anakumbuka kuna kula
Aaa wapi!!!! Fahamu zikimrudia ndio anakumbuka kuna kulamlevi akishalewa ndio anakumbuka kuna kula
Hahahahahaaaaaaaa!Simu ni simu, bluututh, camera ku slaidi hizo ni mbwembwe tu
Ukitaka kujua kama wewe umeoza jifunike na blankett halafu ujambe!
1.shetani hawezi kumsifia yesu.
Hizi zitaingia kwenye kundi la nahau mpya, sio methali. Asante.1:ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya
2: Ukweli na Uwazi
Safari nzuri tumia usafiri binafsiUkitaka kujua karaha ya daladala kuwepo na foleni