Methali mpya

Bujibuji nakushukuru kwa kutukumbusha hayo maneno ya Baba wa Taifa letu. Nakubaliana nawe kabisa kuwa Nchi haiwezi kuendelea kwa kutegemea misaada toka nje peke yake, Mwalimu alikwenda mbele zaidi kwa kusema nchi itajengwa na wananchi wenyewe na hasa wale wenye Moyo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom