<br />JOHNMONEY tupo kaka. nakumbuka mambo mengi sana kuanzia ule motto wa shule usemao: <b><i>kumeta meta kwa kwa meta ni juhudi za wazazi na wanafunzi. </i></b>​Mie nilikuwa pale 1997 - 2000
Bujibuji l was also there, enzi za John Mageta mtoa adhabu za kufyatua matofali. Nakumbuka nikiwa form three niliwahi saa kumi na moja alfajiri shuleni, kisha getini nikaandika kwa rangi nyekundu na kwa umaridadi mkubwa SHULE IMEUZWA KUAnZIA LEO HAKUNA MASOMO.
Siku hiyo watu wote hawakusoma, nikatafutwa na kupewa adhabu ya kufyatua matofali elfu nane. Job mwalimu wa nidhamu ndiye aliyenifutia adhabu yangu. Much love and respect to him
Wale woote wanao ijua au Kusoma hii shule?? Jamani we acha tu?
JOHNMONEY tupo kaka. nakumbuka mambo mengi sana kuanzia ule motto wa shule usemao: kumeta meta kwa kwa meta ni juhudi za wazazi na wanafunzi. ​Mie nilikuwa pale 1997 - 2000
maijo mzee wa kithembe:ni mthabato huyu!Nammiss sana Maijo
Kwa kweli Mageta alikuwa noma. Nakumbuka alikuwa akikatiza kila mtu anaingia mitini. Aliweza kudhibiti nidhamu kwa kiasi kikubwa sana. Kaka Job na Mwaigusi mishemishe zao walikuwa wanapigia maeneo ya getini. Ole wako uchelewe halafu uwaone watu hao ujue umefariki. Nilitembelea pale mwaka jana almost baada ya miaka zaidi 10 tangu nilipomaliza, nilifurahia kuona mafanikio yaliyofikiwa. Meta forever!
Daaaah, umenikumbusha sana pande zile.nilikuwepo pale 2007 had 2009 HKL,Namkumbuka sana Simwaba,sawa darasa na yule wa Kiswahili 2 mzee wa Rosa mistika,mfereji maringo,jiwe c mchi nk. Meta imetutoa weng kwa kweli.